Alhamisi, 1 Muharram 1447 - 26 Juni 2025
Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza makubaliano kamili kati ya Israel na Iran juu ya usitishaji kamili wa mapigano. Katika jukwaa lake la Kijamii la Truth, Trump alisema: "PONGEZI KWA KILA MTU! Imekubaliwa kikamilifu na kati ya Israel na Iran kwamba kutakuwa na Usitishaji Vita Kamili na Jumla (katika takriban saa 6 kutoka sasa, wakati Israel na Iran zitakapomaliza na kukamilisha misheni zao zinazoendelea, za mwisho!), kwa masaa 12, ambapo Vita vitazingatiwa, VIMEMALIZIKA! Trump alisifu pande zote mbili, akisema: "Misuli, Ujasiri, na Ujasusi kumaliza" mzozo na kusema kwamba ulimwengu na Mashariki ya Kati ndio "WASHINDI halisi".
Erdoğan anapaswa Kuhutubia Umma wenye Ikhlasi na sio Walinzi wa…
Akihutubia Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu jijini Istanbul, Rais Recep Tayyip Erdoğan ametoa wito wa…
Kauli za Kisiasa na Uchambuzi wa Kisiasa
Habari muhimu kwa uchambuzi kwa jumla ndio msingi wa tafakari ya kisiasa. Kwa hakika, ndio…
Ni Dhambi Kubwa Kwa Ndege za Mayahudi Kuvuka Anga ya…
Ni Dhambi Kubwa Kwa Ndege za Mayahudi Kuvuka Anga ya Tawala, Kuipiga Mabomu Iran na…
Msafara wa Uthabiti kati ya Khiyana ya Utawala wa Misri…
Huku kukiwa na mikutano tasa na makongamano ya uhadaifu, msafara maarufu unaojiita "Msafara wa Uthabiti"…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…